Home » ''Habari Zilizopewa Uzito'' »
MNYIKA ASIKITISHWA NA MAJIBU YA MKUU WA MKOA WA DAR KUHUSU BODABODA NA BAJAJI

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameeleza kutoridhishwa na majibu yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiq, kuhusu mgogoro unaoendelea juu ya usafiri wa pikipiki ‘bodaboda’ na bajaj
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amenukuliwa na vyombo vya habari akisema hawezi kusitisha kwa muda agizo lake la kukataza vyombo hivyo vya usafiri kuingia katikati ya jiji kwa kuwa si agizo lake bali ni sheria.
Pia aliongeza ili fedha za umma ziweze kutumika vizuri, katika barua yake ya kupendekeza ajenda, atapanua wigo wa mjadala wa matatizo ya usafiri katika Jiji la Dar es Salaam ili masuala yote ya kisheria yaweze kujadiliwa na maazimio ya utekelezaji kuweza kupangwa.Mbunge huyo ameongeza kuwa tayari ameshawaandikia ujumbe wabunge wenzake wa Dar es Salaam, waweze kuunga mkono ajenda hiyo kujadiliwa na ufumbuzi uweze kupatikana kwa maslahi ya vijana na wasafiri katika jiji hilo.
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more great content just like it.
Popular Posts
-
Na Yericko Nyerere (Mwanahalisi Forum) Usiku wa tarehe 12 Januari 1964 kundi la watu 300 walikitwaa kisiwa cha Unguja wakiongozwa na mtu a...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Muss...
-
Niliwahi kutoa ahadi kuwa nitaweka sababu nzito Tano ambazo mimi binafsi naziona zinafaa sana kumtathmini Edward Lowasa kama Rais ambaye T...
-
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akiwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma na ku...
-
THE Monduli Constituency MP, Edward Lowassa (b. Aug. 26,1953), has been causing a political storm of gargantuan proportions across the Tan...
-
Teller Ref No. UTT -MFI/TL/0414/15 Company:UTT Microfinance Plc Location:Dar Es Salaam POSITION DESCRIPTION: The UTT Microfinance Plc now i...
-
The jet, christened ‘The Great Rift Valley’ is the first of six 787s which Kenya Airways has ordered as part of its mordernisation ...
-
A list of famous people, chosen mainly from the Ninenteenth, Twentieth or Twenty First Century. This list includes famous actors, politici...
-
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimestushwa na kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kuivunja mapema Tume ya Mabadiliko ya Katiba n...
Kuhusu sisi
Powered by Blogger.
Recent Stories
Ukurasa wetu wa Facebook
Wadhamini
Blog Archives
Recent Comments
Tag Cloud



0 comments for this post
Leave a reply