Home »Unlabelled »
FORD UK WATOA MICHUMA YA UKWELI KUWAZIDI TOYOTA JAPAN
Kama mlivyosikia, TOYOTA wameanza kuhangaika kwani magari yao kila kukicha yana matatizo.
Tuliona walipoziita Prius Zote, na sasa wameita zingine milioni sita kwani zina matatizo ambayo yanaweza kusababisha ajali mbaya barabarani.
Wakati uliopita niliwahi kuwaasa kuwa magari kutoka UK ni bora na nafuu kuliko yale ya JAPAN na wengi mlinipinga hapa
Leo nataka niwape somo kuhusu baadhi tu ya magari yanayotengenezwa na FORD kiwanda kilichopo EAST LONDON - DAGENHAM.
Ford wanatengeneza aina nyingi ya models na mojawapo ambazo zinatamba sana ni Mondeo, Focus, Fiesta na Grand C- max
Mimi nimefanikiwa kujinunulia Grand C- Max hivi karibuni kwa ajili ya familia na nimegundua kuwa na gari nzuri sana, cheap to run na zina teknoloji ya hali ya juu, Pia ina nafasi kubwa ya seats saba ndani.
Ford zote mpya zimefungwa accident sensors ambapo kama una reverse halafu unakaribia kugonga sio tu litabeep bali litakata mafuta kama masikio yako hayasikii alarm na litasimama lenyewe.
Ford zote mpya zimefungwa text message reader ambapo kama ukitumiwa sms sio lazima uwashe simu usome, unabonyeza kitufe tu inakusomea (kazi kwako kama sms imetoka ....)
Ford zote mpya zina aloy wheel kwa hiyo hakuna ma wheel cape.
Ford nyingi ni hybrid kwa hiyo wese halitumiki kabisa
Usafiri wa gari kutoka UK ni £700 wakati kutokajapan ni madola kibao ..
Ukitaka hizi gari tembelea mtandao huu utayaona mengi tu kwa bei nafuu
Used FORD FOCUS Car for Sale - Auto Trader UK
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more great content just like it.
-
Na Yericko Nyerere (Mwanahalisi Forum) Usiku wa tarehe 12 Januari 1964 kundi la watu 300 walikitwaa kisiwa cha Unguja wakiongozwa na mtu a...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Muss...
-
Niliwahi kutoa ahadi kuwa nitaweka sababu nzito Tano ambazo mimi binafsi naziona zinafaa sana kumtathmini Edward Lowasa kama Rais ambaye T...
-
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akiwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma na ku...
-
THE Monduli Constituency MP, Edward Lowassa (b. Aug. 26,1953), has been causing a political storm of gargantuan proportions across the Tan...
-
Teller Ref No. UTT -MFI/TL/0414/15 Company:UTT Microfinance Plc Location:Dar Es Salaam POSITION DESCRIPTION: The UTT Microfinance Plc now i...
-
The jet, christened ‘The Great Rift Valley’ is the first of six 787s which Kenya Airways has ordered as part of its mordernisation ...
-
A list of famous people, chosen mainly from the Ninenteenth, Twentieth or Twenty First Century. This list includes famous actors, politici...
-
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimestushwa na kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kuivunja mapema Tume ya Mabadiliko ya Katiba n...



0 comments for this post
Leave a reply