AGIZO LA KINANa KWENYE MASHAMBA..!!!
Kauli ya Kinana kuhusu shamba la Efatha lililoko Sumbawanga inaonekana kama vile ina msukumo wa Udini. Nasema hivyo kwa sababu kwa muda mrefu sana wananchi wa LOLIONDO NA NGORONGORO wamelalamikia kunyanganywa ardhi yao malaki ya ekari lakini serikali imefumba macho na kuziba masikio. Lakini leo cha ajabu ati Kinana anajiapiza kuwa atahakikisha kuwa shamba halali la waumini wa EFATHA Linapokwa na ati anajidai ati amekwisha wasiliana na Rais. Hii ni dalili ya ubaguzi wa kidini na tunamwambia Kinana kabla serikali haijazungumzia Sumbawanga imwondoe mwarabu anayenyanyasa watanzania wenzetu kule LOLIONDO NA NGORONGORO Tena afadhali efatha ni watanzania, mwarabu wa LOLIONDO si mtanzania. Ukimaliza hayo muwaondoe wamiliki wa migodi kama ya north mara ambapo watanzania wanaofikia 500 wameuawa na walinzi wa mgodi huo ndani ya kipindi cha miaka 10. Pia maelfu ya watu watapoteza maisha yao kwa vifo vya uchafuzi wa mto TIGITE na MARA. Na maeneo mengine kama Ngega, Mtwara n. ndipo mrudi Sumbawanga. Kinana na ccm acheni siasa za kidini.
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more great content just like it.
-
Na Yericko Nyerere (Mwanahalisi Forum) Usiku wa tarehe 12 Januari 1964 kundi la watu 300 walikitwaa kisiwa cha Unguja wakiongozwa na mtu a...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Muss...
-
Niliwahi kutoa ahadi kuwa nitaweka sababu nzito Tano ambazo mimi binafsi naziona zinafaa sana kumtathmini Edward Lowasa kama Rais ambaye T...
-
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akiwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma na ku...
-
THE Monduli Constituency MP, Edward Lowassa (b. Aug. 26,1953), has been causing a political storm of gargantuan proportions across the Tan...
-
Teller Ref No. UTT -MFI/TL/0414/15 Company:UTT Microfinance Plc Location:Dar Es Salaam POSITION DESCRIPTION: The UTT Microfinance Plc now i...
-
The jet, christened ‘The Great Rift Valley’ is the first of six 787s which Kenya Airways has ordered as part of its mordernisation ...
-
A list of famous people, chosen mainly from the Ninenteenth, Twentieth or Twenty First Century. This list includes famous actors, politici...
-
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimestushwa na kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kuivunja mapema Tume ya Mabadiliko ya Katiba n...



0 comments for this post
Leave a reply