MITAMBO YA ANALOJIA YAZIMWA NCHINI TANZANIA
Tanzania imeingia awamu ya pili ya mpango wake wa mfumo wa matangazo kuhama kutoka analojia kwenda dijitali, kwa kuzima mitambo ya analojia katika baadhi ya miji ya kati na magharibi mwa nchi hiyo.
Miji iliyoingizwa katika mfumo huo kuanzia jumanne wiki hii ni Singida na Tabora wakati ambapo miji mingine saba ikiwemo Kigoma na Kagera itaingizwa kufikia mwezi Mei mwaka huu.
Taarifa zinazohusiana
Tanzania
Mkuu wa mawasiliano wa Mamlaka ya mawasiliano Tanzania - TCRA, Inocent Mungy ameiambia BBC mjini Singida kuwa kufikia Novemba 30 mwaka huu watakuwa wamezima mitambo ya analojia katika miji 11 kwa awamu hii ya pili, huku akidai kuwa kazi ya kukamilisha matangazo ya dijitali kwa nchi nzima itakuwa ndani ya muda uliowekwa.
Wakati Tanzania ikiwa mstari wa mbele katika eneo la Afrika Mashariki , Kenya ipo kwenye mgogoro wa kisheria kukamilisha mpango huo.
Kwa mujibu wa mkataba wa kimataifa nchi nyingi duniani zinatakiwa kuhamia matangazo ya digitali ifikapo Juni mwaka 2015
Related posts:
If you enjoyed this article, subscribe to receive more great content just like it.
-
Na Yericko Nyerere (Mwanahalisi Forum) Usiku wa tarehe 12 Januari 1964 kundi la watu 300 walikitwaa kisiwa cha Unguja wakiongozwa na mtu a...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Muss...
-
Niliwahi kutoa ahadi kuwa nitaweka sababu nzito Tano ambazo mimi binafsi naziona zinafaa sana kumtathmini Edward Lowasa kama Rais ambaye T...
-
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akiwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma na ku...
-
THE Monduli Constituency MP, Edward Lowassa (b. Aug. 26,1953), has been causing a political storm of gargantuan proportions across the Tan...
-
Teller Ref No. UTT -MFI/TL/0414/15 Company:UTT Microfinance Plc Location:Dar Es Salaam POSITION DESCRIPTION: The UTT Microfinance Plc now i...
-
The jet, christened ‘The Great Rift Valley’ is the first of six 787s which Kenya Airways has ordered as part of its mordernisation ...
-
A list of famous people, chosen mainly from the Ninenteenth, Twentieth or Twenty First Century. This list includes famous actors, politici...
-
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimestushwa na kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kuivunja mapema Tume ya Mabadiliko ya Katiba n...



0 comments for this post
Leave a reply